Andrew Kibe and KRG the Don. Photos/Courtesy

“Ile sehemu yoyote ntakupata” KRG issues fresh threat to Kibe after failing to beat him at JKIA

3 mins read

KRG the Don failed to attack Andrew Kibe at Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) like he had promised.

The rapper claimed that Andrew Kibe insulted him online in the name of making content vowed to beat him up at JKIA when he returns to Kenya.

“Mzee Kibe role model wa wale maboys wananyong’ang’a eeh! Sasa sikiliza bwana naskia unakuja Kenya. Karibu Kenya sana. Kenya ni nchi yako, we ni mwananchi wa hapa na umeishi hapa kunishinda, karibu sana. Unajua ulinitukutana kitambo beef nini lakini nakuahidi …mimi sikutolei vitisho nakupea ahadi na unajua ahadi ni deni na dawa ya deni ni kulipa. Mimi nakuchukulia hapo airport, nakuuma hapo na lazima nikufinye polisi watu wakiona. Nakuuma hapo asubuhi watu wakinirecord,” KRG said in a video.

“Vile wewe unasemanga we ni master nitumie details zako nikuchukue airport mimi mwenye Bughaa nakuuma hapo utajua mimi ni msani wa serikali na umetudharau sana kwanza mimi ulikuwa unanitukana sana utajua haujua,” he added.

Reacting to KRG’s threat, Andrew Kibe said he had nothing to fear and vowed to fly to the country as planned.

“Kenya is my country why would I fear anyone? Apart from pointing out the stupid things they share, they can do whatever you gotta do,” Andrew Kibe said.

Andrew Kibe ultimately jetted back in Kenya on Friday evening December 2, 2023 and was received by fans at JKIA.

KRG too made his way to JKIA to attack Kibe like he had promised but he failed in his mission as he was stopped by ‘elders’.

Speaking to YouTuber Nicholas Kioko after failing to attack Kibe at JKIA, KRG blamed the elders for the failure of his mission.

“Wazee mumeona wangapi wananibembeleza ‘please, please, please’. Wamechinja mbaka mbuzi tatu, wamemwaga damu pale chini ‘Bugaa tunakuomba thafadhali kwa heshima na taadhima muache huyu kijana anaitwa Kibe, tusiangalie mambo yake’. Wakaniongelesha pale kisapere mingi,” KRG said.

“He is a coward, in short yeye ni muoga. Kwa sababu ya nini? Ana maadui wengi lakini maadui zake pia ni waoga kama yeye kwa sababu hakuna mwenye amesema mimi nakunakuna huyo jamaa leo. Ni mimi tu,” he added.

KRG further issued fresh threat to Kibe, vowing to rough him up anywhere he will find.

“Hello Kibe, sehemu yoyote ntakupata ile mambo utajiskililia kwa maskia yako ama kujionea kwa mambo yako itabaki kumbukumbu kwako na kizazi kijacho. Yani ile mambo utajionea wewe ata Abnowas hajajionea bado,” he said.