Harmonize and his daughter
Harmonize and his 'daughter'. Photo credit: Instagram/Harmonize

DNA results from Lancet Laboratories prove Harmonize is not biological father of child he claims he sired

5 mins read

Rajab Ibrahim Abdukahali alias Harmonize recently introduced his daughter whom he said her whereabouts he had kept secret for four years.

In a post on Instagram, Harmonize apologized to his 4-year-old daughter Zureha Nasra for publicly not acknowledging her existence before.

Harmonize also shared some photos showing that he was present when his daughter was born four years ago.  Captioning his post, Harmonize wrote;

Ukweli Humuweke Yeyote Huru….!!!! Haijalishi Ni Kiasi Gani ..!!! Au Muda Gani.
Ila Naamini Kusema Hili litafanya Moyo wangu Uwe Huru Na Nijione MUUNGWANA Mbele Ya Mungu Pamoja Na Wewe Unaesoma!! Pia MUUNGWANA Zaidi Mbele Ya Mtoto wangu Kipenzi My First Love (ZUU) 😭😭😭😭 Nianze Kwa Kusema I’M SO SORRY MY PRINCES🙏🙏 for NOT ever Been PROUD of You 4 ONE YEAR AND 7 MONTHS

😭 Nisamehe Pia kwa kuto kuwa Na Time Hata Ya Kuja Kukuangalia Pale Ulipo Kuwa Unaumwa, kwa Kuhofia Kuvunja Mahusiano Ambayo Nayaheshimu Sana..!! Tumepitia Mengi na Naamini Kuchezea Wanawake Au Kubadili sio Sifa. Hili Swala Limenitesa Kwa Muda Mrefu, Hadi ikafika Pahala Nikasema Namuachia Mungu. Maana Wakati wake Sahihi Zaidi Hatimae Umewadia 🙏 NISAMEHE Mwanangu,kwa Kuto Pata Hata Usiku 1 wa Kulala Kifuani Kwangu Ukapata Hata Joto La Baba Yako 😭 NISAMEHE kwa Kukufanya Ujisikie Mpweke Au kana kwamba Umekuja Kwenye Hii Dunia Kwa Bahati Mbaya na Kukufanya Usijione Special 😭

Nisamehe Kwa Kuto Kukupa Huu umaarufu Ambao Nimeupata kwa Barakha Za Mungu tu na Sio Kwa Ujanja Wangu, Kukufanya Uishi kwa Siri Na Kuto furahia Neema Zangu. Huduma Pekee Nilizo kuwa Nazitoa na kila kitu Tangu upo Tumboni Mwa Mama Yako Mpaka Unazaliwa Hazitoshi Na wala Haziwezi Jenga Furaha Pasi na Uwepo Wangu Nitaiweka Wapi Sura Yangu Ukiaanza Kujitambua Na Ukagundua Kuwa Baba Yako Hayupo PROUD na Wewe Kwasababu Hayupo Katika Mahusiano Na Mama Yako Mzazi Yupo na Mahusiano Na Mwanamke Mwingine Na Anakuficha Kwa Kuhofia Kuyavunja Mahusiano Hayo Ya Muda Mwingi …???

(1)Hakuna Mwanadamu Alie Kamilika (2) kitanda Hakizai Haramu (3) Anaenipenda Kwa Dhati Ninaimani Atakubaliana na hali Harisi sitoweza Kukubali au Kushuhudia Damu yangu Inateseka You are my WORLD. Nakuomba Msamaha Hadharini Na Nakuahidi Kukupa MOYO wangu wote,Kwani Hukuja Kwenye Hii Dunia Kwa Bahati Mbaya Ni Mpango Wa Mungu I LOVE YOU MY FIRST LOVE PRINCESS Umenifanya Nijione Mtu Mzima. Nimejifunza na Natarajia Kujifunza Meng! Kupitia Wewe @official__zulekha_kondegirl NILIISHA SEMA PRIVATELY NA NASEMA TENA HADHARANI I’M SORRY TO YOU, MY WIFE (SARAAH) ninaimani Utalipoke Kibinadaam 🙏 AMEEN 🙏

 

View this post on Instagram

 

A post shared by KONDEBOY (@harmonize_tz)

Harmonize’s ex wife Sarah Michelotti however came out armed with DNA results to prove the Bongo singer is not the child’s biological father.

Harmonize: Beef with Diamond is nothing personal

Apparently, Sarah knew about the girl’s existence while still married to the singer, and did DNA test to ascertain the baby’s paternity.

DNA results from Lancet Laboratories prove that Harmonize is not Zureha’s biological father. Sarah shared copies of the DNA result on her Instagram account.

“The result of DNA profiling analysis of the 3 persons identified above indicate that RAJAB IBRAHIM ABDUKAHALI is EXCLUDED from being the biological father of child: ZUREHA NASRA. 17 of the 23 loci tested are mismatched. (3 or more mismatches are considered grounds for exclusion of paternity),” the results of the DNA test carried out by Lancet Laboratories read in part.

Harmonize’s ex-wife alleges that the Bongo singer is incapable of fathering a child of his own because he is sterile.

“Mungu wangu watu kweli wamevurugwa, mara mbili wamepima DNA ya mtoto bado majibu ni Negative., Ila kwakua umeshindwa kupata mtoto umeamua kujipa mtoto asie wako….hongera kwa adoption, utakua na roho nzuri 🤣🤣hukujua jinsi ya kutunza mke sababu ya maovu yako natumai utajua kutunza mtoto 🤣🤣🤣 UKOME KUONGOPEA MASHABIKI ZAKO. Dah 🙏 I post it in swaili language, so everybody will understand 👌,” wrote Sarah.

 

 

View this post on Instagram

 

A post shared by SARAH MICHELOTTI (@sarah__tz)