Breeder LW – Yes Bana Freestyle lyrics

3 mins read

Bazenga husonganga ki Donga
Ka hufiki bei si important
Maganji mkononi ka donda
Saa hii bila mimi hio ngoma haita zoza
Beat ni ya Omollo, inagonga
Sling ni ya Goro, Unatokwa
Bado nawa washa, kidonda
Ukishindwa kuwinda subiri mzoga

Ma drama, machocha vioja
Ndio zimefanya Kenya kuna locust
Ata Rap siku hizi joh ni bogus
Ju flow ni hatari kwa pori umesota
Ikikuja Rap me ni Cobra
Mamita nasaka sitachoka
Me hubuy ndulla Gikomba
Ndechu, brandi na ata haijaoshwa
Ukitry test ni makosa
Pongi ka inatupa imeoza
Breeder uliacha Kuroga?
Ala!!Fxck You!!
Me bado ni kobra
Sura ndio imejaa kwa ma poster
Leta vodo yangu bila Chaser
Shingo iko icy ka glacier
Drip hadi plumber anateta
Msupa alikuchocha ako kesha
Guess ako na nani kwa keja
We unapiga simu iko mteja
Bazenga dadii, Nai pepeta pepeta

Kunipata hadharani blunder
Ganji kwanza, ndio nicheki idhaa nikipanda
Ziki nyanya, Pepea ka silver surfer
Nili apa, Heri nidedi niki tafutaa
Niki taka, naeza diss kila rapper
Swiftly after, nika sip gin na tusker
Piga starter, medi na steam ya jaba
Tiki taka, ligi biggy hii ni Barca

Eazi sana, eazi kama gugu gaga
Taka taka, tusi wao me ni Ng’ang’a
Haha haha, me huwacheka wao hubamaba
Ni ma learner, wanataka kubishana
Soma kwanza, pata degree na masters
Nini sasa huwezi tema hizi stanza
Mbuzi hapa, me nasaka greener pastures
Chunga sana, utapata scar na fracture

Kunipata bila beret, no Bana,
Verse zangu zote genje, yes Bana
Man a giant on the low, no Burna
Man a, man a giant on the low, no Burna
Last year, nilikua nimeparara
Nikifika bash na Sahara
Siku hizi step nimeng’ara
Ma diva,ma cougar ma slay wana-holla
Sijai dishi dondo nikahara
KFC, Chicken Inn, hio apana
Warazi wanabaki na mapara
Waititu juzi amegeuziwa Janta

Bazenga dadi jina biggie kwa hii mziki
Na city to city nasambaza TK ka injili
Nikihisi inatabidi nafika na mbogi na siringi
Ntafika kwa Guiness ntavunja rekodi ka kijiti
baraka ndio mingi hapa hakuna hizo ma irisi
My nigga we winning,enough with the gimmicks, I mean it
The minute, I’m in it, I’ma be a menace, I mean it
Fxck a critic, mean while I be paid for each lyric