Babu Tale awarded honorary PhD by US university 
Babu Tale. Photo/Instagram (@babutale).

Babu Tale awarded honorary PhD by US university 

1 min read

Diamond Platnumz’s manager Babu Tale has been awarded an honorary PhD by the American University.

Tale said he was awarded an Honorary Doctorate of Philosophy due to his contribution to leadership.

Babu Tale, who is also the Member of Parliament for Morogoro South East, thanked his voters for their great contribution to his success.

“Leo nimekuwa na wakati ambao nashindwa kuulinganisha na wakati gani niliwahi hufurahia kutambuliwa kwa heshima kubwa ukiacha ule wa kuaminiwa katika nafasi ya Ubunge.

“THE UNIVERSITY OF AMERICA chenye Makazi yake Nchini Marekani kimenitunuku Shahada ya Heshima ya Uzamivu (The Honorary Degree of Doctor of Philosophy) kwa kutambua mchango wangu wa Uongozi na Ujenzi wa Taifa.( Leadership and Nation Building).

“Naishukuru Nchi yangu iliyoweka mazingira rafiki yanayowezesha Vyeo tulivyobeba viakisiwe vema nje na ndani ya mipaka yetu.

“Wanamorogoro kusini Mashariki mmekuwa daraja la thamani kwenye kunifikisha katika kila heshima niliyonayo leo na itakayokuja mbele.

“Mungu awabariki nyote nami naahidi kuongeza juhudi katika kuwatumikia kwa maana heshima hii ni yenu.
ASANTE SANA,” Babu Tale wrote.

In 2020, Babu Tale became the flag bearer of CCM in the parliamentary seat after defeating the Assistant Minister of Agriculture of Tanzania, Omary Mgumbe, who was holding the position.

He vowed to be a servant leader and live up to the values ​​of the office and implement the promises they made together.