Wasafi’s Mbosso mourns the sudden death of his baby mama

4 mins read

Mbosso has been bereaved, the Bongo singer has lost his baby mama Boss Martha who was a popular standup comedian in Tanzania.

Boss Martha appeared in several episodes of ‘Cheka Tu, a comedy show where various Tanzanian comedians perform to a live audience – similar to Kenya’s Churchill Show.

Mbosso and Boss Martha dated for many years and were even blessed with a child together. The Bongo singer and her late baby mama had however kept their private life on the hush-hush.

Mbosso eulogized his baby mama upon learning of her sudden death. Boss Martha being admitted to hospital with complaints of back-pain and malaria before she passed on.

Taking to social media to pen his tribute, Mbosso wrote;

“Licha ya Vipingamizi Vingi juu ya Mimi kuwa na Wewe takribani au ndani ya zaidi ya Miaka Mitano (5) iliyopita, hatukuacha kuonyeshana ni kiasi gani tulikuwa tunahitajiana sana kwenye Safari yetu ya maisha , Japo jitihada zetu hazikuweza kufanikisha Mimi na wewe Kuwa Pamoja .., ila mbegu tuliyoipanda vuno letu ulichagua Liwe siri baina yangu Mimi na wewe.., sikukubishia japo Mwazoni nilikukatalia kwa sababu ‘najijua kifua cha Kuficha Siri sina..’ , ila nikakuahidi sitadiriki kuitoa Popote na hata waliotuhisi tulikuwa tunawakatalia.., iwe Faragha au mbele ya hadhira tulitamka Sio Kweli, Hapana, Hakuna Kitu Kama hicho..’ Hayo ndo yalikuwa Majibu Yetu.., “Sasa Umeondoka bila kunipa ruksa juu ya hili Je, niendelee kuitunza hii siri .., na Je, anavyoendelea Kukua akija kuniuliza na nikwambia Mama alisema uwe siri atanielewa Kweli ”..” ?.. Wallah Moyo wangu unauma Martha , hukupaswa kuondoka wakati huu, Mapema mno Dah ..!! “Nenda Martha Mwingi Furaha na Ucheshi , Hata Mama Kasema Leo Msiba..:, ‘ jana ulikuwa unatabasamu hadi ulipofumba Macho , “Innalillah Wainnailaih Raajuun ” ..’ Mwenyezi Mungu akupe Kauli thabiti inshaallah.., ‘ Lala salama Martha 🙏”

 

View this post on Instagram

 

Licha ya Vipingamizi Vingi juu ya Mimi kuwa na Wewe takribani au ndani ya zaidi ya Miaka Mitano (5) iliyopita, hatukuacha kuonyeshana ni kiasi gani tulikuwa tunahitajiana sana kwenye Safari yetu ya maisha , Japo jitihada zetu hazikuweza kufanikisha Mimi na wewe Kuwa Pamoja .., ila mbegu tuliyoipanda vuno letu ulichagua Liwe siri baina yangu Mimi na wewe.., sikukubishia japo Mwazoni nilikukatalia kwa sababu ‘najijua kifua cha Kuficha Siri sina..’ , ila nikakuahidi sitadiriki kuitoa Popote na hata waliotuhisi tulikuwa tunawakatalia.., iwe Faragha au mbele ya hadhira tulitamka Sio Kweli, Hapana, Hakuna Kitu Kama hicho..’ Hayo ndo yalikuwa Majibu Yetu.., “Sasa Umeondoka bila kunipa ruksa juu ya hili Je, niendelee kuitunza hii siri .., na Je, anavyoendelea Kukua akija kuniuliza na nikwambia Mama alisema uwe siri atanielewa Kweli ”..” ?.. Wallah Moyo wangu unauma Martha , hukupaswa kuondoka wakati huu, Mapema mno Dah ..!! “Nenda Martha Mwingi Furaha na Ucheshi , Hata Mama Kasema Leo Msiba..:, ‘ jana ulikuwa unatabasamu hadi ulipofumba Macho , “Innalillah Wainnailaih Raajuun ” ..’ Mwenyezi Mungu akupe Kauli thabiti inshaallah.., ‘ Lala salama Martha 🙏

A post shared by Mbosso (@mbosso_) on