KRG, Jalang'o and Steve Simple Boy. Photo/Courtesy

“Stevo Simple Boy is better than KRG the Don” – Jalang’o insists

1 min read

Lang’ata Member of Parliament (MP) Jalang’o claims that Stevo Simple Boy is the only musician who is better than KRG the Don in Kenya musically speaking.

Speaking during the launch event of KRG’s collaboration with Konshens – Time Bomb, Jalang’o praised KRG insisting that he is very talented even though most people reckon he is rich but without talent.

“Hiyo ngoma ni kali sana, nafikiri kwa muda mrefu KRG amekuwa akiwadanganya watu kuwa hana talanta lakini kwa hii ameifanyia haki. KRG amekuwa na talanta kutoka kitambo, yeye amepiga mashoo na kuimba ngoma kubwa kubwa,” Jalang’o said.

“Namuambia aendee hivyo venye yuko, na aendelee kusukuma. Msanii pekee ambaye kwa sasa nchini Kenya yuko juu ya KRG ni Stevo Simple Boy peke yake, hao wengine wako chini. Ni Stevo pekee ako juu ya KRG,” Jalang’o added.

The Lang’ata MP praised Stevo Simple Boy saying that he currently has no competition.

Jalang’o further claimed to have memorized almost all of Stevo’s songs.

“Ninazijua ngoma zake [Stevo] kama zote. Huyo ni hatari. Unajua mimi nimekuwa shabiki wa Stevo kuanzia kitambo, tangu ‘vijana tuache mihadarati’ mpaka wakati alianza kuchumbiana Pritty Vishy mpaka juzi vile aliacha kumsalimia,” Jalang’o said.

Related: Stivo Simple Boy slams Tanzanian rappers, says only Prof Jay can beat him in a rap battle