Sauti Sol featured Kaskazini, Bensoul, Nviiri, Xenia, Okello Max & Nairobi Horns on their 'Rhumba Japani' hit record off their 'Midnight Train' album. Photo credit: Instagram/sautisol
Sauti Sol featured Kaskazini, Bensoul, Nviiri, Xenia, Okello Max & Nairobi Horns on their 'Rhumba Japani' hit record off their 'Midnight Train' album. Photo credit: Instagram/sautisol

Sauti Sol – Rhumba Japani lyrics ft. Kaskazini, Bensoul, Nviiri, Xenia, Okello Max & Nairobi Horns

2 mins read

Kuna Rhumba ya Juja
Na ni ya maboy
Ukisaka mitumba
Enda Rhumba ya Toi
Kuna Rhumba ya Kibich
Utajua hujui
Kuna Rhumba for all you niggas ila
Rhumba Japani ndio Rhumba

[Verse 1: Bensol]
Kuna Rhumba ya state house iko chini ya maji
Kuna Rhumba ya bunge
Ya majambazi
Ukileta ujinga
Utalala ndani
Kuna Rhumba for all you niggas lakini
Rhumba Japani ndio Rhumba

[Hook]
Hapa ni wapi, tume zungukwa na shisha na shashamani, mapochopocho na vinywaji mbali mbali, wengine wanatapika wakizirai
Hapa ni wapi, wanatutwanga mapicha kipaparazi, Tumezungukwa na warembo geti kali, tunazitoka na style za kizamani

[Verse 2: Xenia Manasseh]
Kuna Rhumba ya Westy
Ya mabeshte
Ya mashinani
Sheki your waistii
Rhumba ni nyepesi
Isikue kesi
Kuna Rhumba for all my niggas
Ila Rhumba Japani ndio rhumba

[Verse 3]
Kuna Rhumba Karura
Ya kupanda miti
Ukiwa Koinange
Hakunaga risiti
Rhumba Oyole
Hio no ya mangwai
All of my hoes and all of my niggas
Rhumba Japani ndio Rhumba

[Hook]
Hapa ni wapi, tumezungukwa na mabouncer kama chuani, Kuna mapedi mapoko pia mapinji, na wanaseti michele kwenye vinywaji
Hapa ni wapi, Kuna visanga vioja mahakamani, wapenzi wapigana mate hadharani, wengine wanatekana nyuma ya taxi

[Verse 4]
Niitie Rhumba obunga
Mano mar jothurwa
Tokidwa bilo mbuta
Iriyo manyatta
Yawuoi orwaka akala
To nyiwa ondiso avunja
Kuna Rhumba for all your niggas
Lakini Rhumba Japani ndio Rhumba
Aaaaaaah Sol Generation you know
Hii shit imeniweka zone, inatamba

[Hook]
Hapa ni wapi, waheshimiwa wako nje kwa foleni, na raia wako ndani wajivinjari, wanazitoka na style ni za kiodi
Hapa ni wapi, mawochi wote wameleta utiaji, wakafungia wakubwa nje ya party, wakawachia ofisi wafanyikazi