Photos: Bahati was given blue ticks by Tanzanian Actress Elizabeth Michael Lulu…full details

1 min read

Bahati has spoken about how Lulu, the Tanzanian babe gave him some serious blue ticks.

The singer who is in bongo for the media tour of his latest collabo with Rayvanny said:

“Hii ni siri ambayo nadhani hata Wakenya hawakujua, AY peke yake ndiye alijua.

Nilitoka Nairobi kuja hapa [Dar es Salaam] natafuta connection na Lulu kwasababu nataka awe kwenye ile video [Maria] ambayo nimemweka Jokate.

Nimekaa kwa hotel Lulu amekataa kushika simu mpaka ikafika mahali nikamwambia ukija kuniona Mungu atakubariki, siku ya pili akakataa kabisa nikamwambia mshikaji AY acha tu nirudi nyumbani. Nikarudi hivyo,” Bahati said this on Magic FM.

Poor boy, it happens and you can’t blame these women though…