Marioo. Photo/Courtesy

Marioo completely shaken after plane he was flying on nearly crashes 

1 min read

Tanzanian singer Marioo was nearly involved in a plane crash while traveling within South Africa where he has been for a couple of days.

The artiste in recent days has been showing his fans how he has been living big in South Africa with his team including his manager and producer Abbah.

However, Marioo shocked his fans while giving them an update on his whereabouts.

He narrated how he survived a near-plane crash saying the plane hit severe turbulence that made it sway a lot.

“Basi leo asubuhi tulikuwa tunatoka zetu Johannesburg tukienda mji mwingine, aisee usiombe hiki kitu kisikukute, ndege imepaa tu vizuri ilivyofika angani ikaanza kupiga hizo kelele. Ndege ilivyozidi kwenda juu Zaidi ndio hizo kelele zikaongezeka kiasi kwamba hata huyo rubani akiongea hamsikii kabisa. Na kilichonichanganya Zaidi ni baada ya kuona wale wahudumu wenyewe ni kama hawaelewi hivi kama wamechanganyikiwa.

“Ghafla ndege ikaanza kuyumba sijui ndio ilipita kwenye mawingu. Japo ndege kutingishwa na upepo au mawingu ni jambo la kawaida ila kwa sababu ya zile kelele ndio nikazidi kuona mwisho ndio umefika.

“Imagine Ndege imepiga kelele kwa saa 2, imeyumba 45 nzima. Hapo nawaza naona ni kama Mungu ananiuliza ‘Eeeh unasemaje sasa! kimoyo moyo nasema ‘mzee sina ujanja fanya vile unavyoweza’… ila tunamshukuru Mungu tulifika salama lakini imebidi nilale masaa 6 ndio niweze kusikia vizuri,” Marua narrated.