Bien Aime and Khaligraph Jones yes bana

Khaligraph Jones – Yes Bana lyrics feat Bien-Aimé

5 mins read

Ooh yeah
Motif turn me on ’em headphones bro
Wharrup

Yes bana, yes bana, yes bana, yes bana, yes bana, yes bana

[verse one: Khaligraph Jones]

Hii mwaka nimejam na sijali, yes bana
I swear nimekam na makali, yes bana
Naona mafan wanaswali, yes bana
Snitch anarun kwa askari, yes bana
Look mi napiga hatari, uuuu
Oops nishalipa mahari, iyee
Dem nishapata wa kumarry, yes bana
Mamacita joh ni chupa kushinda Zari, yes bana
Mi niko na flow kali kali, yes bana
Mi hupiga show mbali mbali,
Yes bana, Mi niko na doo na magari, yes bana
We unahate na una soo kwa mshari, hehe
Ntapiga collabo na Fally, raaaa
Then ngoma na Dolla Kabarry, omollo
Arrow bwoy kanitaka juacali, yes bana
Play KG jo na si tafadhali, yes bana
Niaje watu wangu wa Arsenali, yes bana
Season ni yetu msiworry, yes bana
Mi nishawapashia habari, yes bana
Ule kijana hodari, yes bana
Lazima tuishi kifahari, yes bana
Doo nina links na omarii, yes bana
Biz pia napiga na Passari, yes bana
Veve nashikisha na maariff, yes bana

[Hook: Bien-Aimé]

2020 tuko key, yes bana
Bien-Aimé na OG, yes bana
Itabidi mumetii, yes bana
Ju sisi ndio committee, yes bana
And they got nothing on we, yes bana
Jogoo wa shamba anawika mjini, yes bana
Manoti si mashillingi, yes bana
Kuna mashore kwa wingi
Marijuana pon di corner, yes bana
Mbogi nzima inachoma, yes bana
Inatupandisha chopper, yes bana
In the city si ndio hopper, yes bana
Marijuana pon di corner, yes bana
Mbogi nzima inachoma, yes bana
Inatupandisha chopper, yes bana
In the city si ndio hopper

[verse two: Khaligraph Jones]

Buda si huball ka Lukaku, yes bana
Mtaa mi huchill na mafiatu, yes bana
Gangstar Timber ndio kiatu, yes bana
Tunapiga ginger na shaku, yes bana
Niko na mangoma za power, uuu
Wanauliza mbona madawa, uuu
Vile nimeshona visawa, iyee
Flight ni kaa niko na mabawa
Mi ni ras jo ni dredi tu sina
Na nishawahi kuwa thegi masimba
Najua mapedi na jina, yes bana
Either way hamuwezi nishinda, yes bana
Ukikuja East mi Kamanda, yes bana
Try kunidiss pia ni blunder, yes bana
Fom ni mazishi na matanga
Na mi sina beef na Ohanga
Ohanga hunitaki kwa nini, yes bana
Mbona usifanye tracki na mimi, yes bana
Tutop hizi chart za mjini, yes bana
After that we’ll be happy i mean it, yes bana
Sitaki interview za gazeti, no
Maswali za ufala hazileti, no
Mi huomba Ka Ndinye wa Nzeki, uuu
G.O.A.T ka Ronaldo na Messi, prrr
Nani mwingine ka mimi, hakuna
Mafuta napaka marini, eeh
Guts shinda Rosa na Timmy
Mi hurap kama hover na nyinyi?
Shinski collabo tufanyi?, yes bana
Tushike from Dago to Kani, yes bana
Into bradhangu asemanyi, yes bana
Usitry kunishow haiwezekani, yes bana
Huddah simu hashiki, yes bana
Anadhani mi nataka kumpiga miti, yes bana
Mi nina wife jo sipendi hizo kiki, yes bana
Am done with this shit jo Oriti, yes bana

[Hook: Bien-Aimé]

2020 tuko key, yes bana
Bien-Aimé na OG, yes bana
Itabidi mumetii, yes bana
Ju sisi ndio committee, yes bana
And they got nothing on we
Jogoo wa shamba anawika mjini
Manoti si mashillingi
Kuna mashore kwa wingi
Marijuana pon di corner, yes bana
Mbogi nzima inachoma, yes bana
Inatupandisha chopper, yes bana
In the city si ndio hopper, yes bana
Marijuana pon di corner, yes bana
Mbogi nzima inachoma, yes bana
Inatupandisha chopper, yes bana
In the city si ndio hopper
2020 tuko key, yes bana
Bien-Aimé na OG, yes bana
Itabidi mumetii, yes bana
Ju sisi ndio committee, yes bana
And they got nothing on we, yes bana
Jogoo wa shamba anawika mjini, yes bana
Manoti si mashillingi, yes bana
Kuna mashore kwa wingi
Marijuana pon di corner, yes bana
Mbogi nzima inachoma, yes bana
Inatupandisha chopper, yes bana
In the city si ndio hopper, yes bana
Marijuana pon di corner, yes bana
Mbogi nzima inachoma, yes bana
Inatupandisha chopper, yes bana
In the city si ndio hopper

I love everybody who loves everybody, somebody got to love somebody at some point.
Music is something that comes natural to everybody and it's a language that everybody can understand, I understand it and that's why I speak it
fluently, do you.