“I would rather date a mkokoteni man than date a celeb” Ray C declares

1 min read

She hasn’t been able to move on ever since her former celebrity boyfriend dumped her. Her indulgence in drugs is hugely attributed to her exit in the music industry.

“Kwa sasa bado sina boy friend, now nina marafiki tu kiukweli nafasi hiyo bado maana Lord Eyes aliniumiza sana, nilimpenda sana na ndiyo maana nilifanya alichokuwa akifanya, sikutegemea kama ingekuwa vile, hata kwenye drugs unakutana na rafiki yako anafanya hiki na wewe utataka kufanya ili aone upo naye pamoja, ila kwa sasa mimi na wasanii hapana, ni bora hata nitoke na msukuma mkokoteni ili mradi anipende maana mimi nina mapenzi ya kweli ndiyo maana unaona hata nyimbo zangu nyingi ni za mapenzi.” Ray C told ENewz.

Speaking on ENewz on East Africa TV, Ray C revealed she hasn’t been able to move on with her life ever since Lord Eyes dumped her.

The ‘Moto Moto’ singer says she found solace in drugs after her heart was broken by her celebrity boyfriend.

 

Ray c
Ray C with Lord Eyes