Harmonize explains why he has no beef whatsoever with Alikiba

2 mins read

Harmonize has embarked on a new journey of making peace with everyone whom he had issues with including with Diamond Platnumz.

The Bongo singer recently extended an olive branch to the Wasafi boss .

Speaking during a recent interview with Bongo media, Harmonize explained his newfound relationship with Alikiba.

In September 2023, Harmonize set tongues wagging after he tightly hugged Alikiba.

The two artists had both performed at an event organized by the President of Tanzania Samia Suluhu.

Speaking of the event, Harmonize most people thought he had a beef with Alikiba while in reality he had no issue whatsoever with the veteran Bongo singer.

“Kwenye jamii kuna mentality kuwa mimi nina shida na @OfficialKiba lakini mimi sikufichi na nakwambia ukweli kabisa, Alikiba ni kati ya watu ambao mimi nimejifunza muziki kutoka kwao, hatujawahi kukutana kwenye tatizo lolote na hatujawahi hata kushare wanawake. Namheshimu ana mchango mkubwa sana katika hii sana huwezi kupinga hilo, sisi tumejifunza kupitia yeye, tumekua tunamkuta Ali anafanya vitu vingi vikubwa tunapata ile mentality kwamba kumbe inawezekana kufanya huu muziki kukupa heshima na kulipa heshima taifa lako,”

“Hivi karibuni nafikisha miaka 30, kwa hiyo nakua. Halafu kingine mimi nina mtoto wa kike, anafikisha miaka 5 hivi karibuni, na anapokuwa ananihimiza. Sitaki mwanangu akue akute sijui baba ana matatizo na mtu huyu, nitamweka mwanangu kwenye mazinginra ya kujiuliza kwa nini baba hapendani au kupatana na huyu, kwa hiyo ninakua,” Harmonize said.

Alikiba through his X page reposted the clip of Harmonize talking and put an emoji of applause while attaching only one word, “maturity.”

Related: Alikiba reacts after former enemy Harmonize hugs him