Diamond Platnumz wants nothing to do with Hamisa Mobetto's son 
Diamond Platnumz and Hamisa Mobetto with their son Dylan. Photos/Courtesy

Hamisa Mobetto: I am desperately praying to God to give me a husband

2 mins read

Diamond Platnumz’s baby mama Hamisa Mobetto has revealed that in recent days her main prayer request she has been making to God is to find a husband and marriage.

The mother of two children said that in the past she did not see the importance of a husband and marriage, but as years go by, she has seen the great importance of marriage and has been making that request to God.

“Kitambo nilikuwa naona kwamba sina Imani katika ndoa, kwa kipindi kile kweli nilikuwa sijawahi kuona mfano wangu kuwa nafaa kuwa na ndoa yangu kama baba Fulani na mke wake. Lakini sasa ndio naona umuhimu wa ndoa, ikizingatiwa kwamba sasa nina watoto na ninajua kwamba umuhimu wa mume utakuwa huu na ule, sasa naona mifano, naona vitu kwenye mitandao hadi nahisi tu kuolewa,” Hamisa Mobetto said.

In finding a husband, Mobetto said that she wants God to give her a rich husband.

“Mara nyingi tu katika siku za hivi karibuni nimekuwa nikiswali kuomba mume. Nahisi pesa ni muhimu sana. Kama ninatia bidii sana kupata pesa ili kujukumikia watoto wangu na kila kitu, mume wangu naye lazima pia awe na pesa, nahisi ni vizuri ikiwa hivyo,” she said.

Hamisa Mobetto emphasized that a woman cannot love a man without money, saying that from the past it is a tradition that men were created to look after and care for their families.

“Nikimzidi hela hakuna tatizo, nina uhakika akiwa na mimi hela zitaongezeka. Hata hivyo sijawahi chumbiana na mwanamume bila hela. Kwa sababu Fulani mimi pesa hunifanya kuwa nac furaha sana,” Mama mtu alitema ukweli wake.