Diamond shares video of the son he sired with Hamisa Mobeto

1 min read

Diamond finally confessed to fathering Hamisa Mobeto’s son. Speaking during an interview on Cloud FM’s Leo Tena show, ‘Zilipendwa’ hitmaker revealed that he dated Mobeto from 2009-2010 before they broke up then started having an affair when he married Zari.

“Nilifahamiana na Hamisa kabla ya kuwa Miss Xxl kipindi kile mwaka 2009 -2010 nilikuwa na mahusiano naye kisha tukaja kuachana. Baada ya kuachana wakati, mimi nikaendelea na maisha yangu na mpaka naanzisha mahusiano yangu na Zari.

Shetani akanipitia na tukaanza tena kuwa na mawasiliano ya kimahaba mpaka pale alipopata ujauzito. Nilimuambia mimi ni Baba mwenye familia yangu. Inabidi jambo hili libaki kati yangu mimi na wewe. Sikupenda kuikana Mimba, ni damu yangu na kila siku iendayo kwa Mungu nilikuwa nampatia matumizi,” Diamond said.

Following the confession, Diamond took to Instagram to share clip of the son he sired with Hamisa Mobeto.

Watch the video below: