Mama Dangote in tears after Diamond reminds her how they suffered before money and fame came 
Diamond with his mother before fame and money. Photo/Courtesy

Mama Dangote in tears after Diamond reminds her how they suffered before money and fame came 

2 mins read

Diamond Platnumz painfully recalled how he watched his mother Sanura Sandra Kassim alias Mama Dangote work as a hairdresser for long hours just to make ends meet.

The multimillionaire singer recalled how his mother and him suffered in poverty while celebrating his mom on her birthday.

Diamond reflected on the challenges he went through with his mother, telling her that their suffering is what motivates him to work hard everyday.

Nakumbuka Mwaka Mmoja wakati unafanya kazi ya Saloon kariakoo, tukiwa tunarudi usiku majira kama ya saa sita hivi kwenye Daladala nikakwambia “Usijali mama Kuna siku nitatoboa kwenye mziki na nitakufungulia na wewe Saloon yako”…Vyote naweza visahau lakini maneno haya siwezi yasahau, kwasababu nilikuambia kwa uchungu nilipokuona unanitazama kwa huruma na Uchungu, kwa jinsi nilivyokua nahangaika na maumivu ya kiti chamoto kwenye Daladala ya Hiace… Nakupenda na Nakuheshimu sana, na siku zote ujue kwamba wewe ndio sababu ya mimi Kupambana usiku na mchana ili kuhakikisha unapata furaha ambayo uliikosa kwa muda mrefu…Happy Birthday Mom, Mwenyez Mungu akupe Maisha marefu yenye Furaha, Afya na Amani @mama_dangote ❤️‍🔥🎂❤️‍🔥,” Diamond wrote.

Mama Dangote shared teary emojis while reacting to her son’s birthday message.

She said her son used to encourage her when they were suffering together.

NASHINDWA CHAKUANDIKA MWANANGU NASEEB😭😭😭😭😭 NA NDIO MAANA NIKAMUPA JINA LA NASEEB KICHWA KWA JINSI ULIVOKUWA UNANITIA NGUVU KATIKA MAISHA TULIOISHI MIMI NA WEWE … ILA WATU HAWAIJUI MAANA YA NASEEB KICHWA NAIJUA MIE MAMA YAKO JINSI ULIVOKUWA UNANIPA MOYO KATIKA CHANGAMOTO TULIZOKUWA TUNAPITIA MIMI NAWEWE..TUMSHUKURU M/MUNGU KWA HAPA TULIPO FIKIA JAPO SAFARI BADO NI NDEFU SANA @diamondplatnumz 🦁 JUA NAKUPENDA JUA NAWAPENDA SANA SANA WANANGU 🙏.” she wrote.