lyrics

Gabu – Mastory Ft. Mbosso Lyrics

Gabu – Mastory Ft. Mbosso Lyrics

[hook]
Buga mi sipendi mastory
(buga mi sipendi mastory)
Mami uko fine don’t worry (mami uko fine don’t worry)
Hakuna noma hakuna ngori(ngori eeh)
Usijam sana ushike mori

[Verse 1: Gabu]
You looking fly
like a butterfly
My terry ana peperuka(mmmh)
Kila fisi anataka kukukuta
‘Cause you are so beautiful my girl
Lakini unanichanganya beiby
Una machali wengi friendly
Sikucheki kila weekendi
I gotta feel some jealousy
Me nakupenda beiby daily
I gotta kiss you beiby daily
Lazima nikushow my beiby
Am so jealous buga

[hook]
Buga mi sipendi mastory (buga mi sipendi mastory)
Mami uko fine don’t worry (mami uko fine don’t worry)
Niko powa sina mambo
Kata maji
you know I love you
Wewe ni wangu
mimi ni wako
Mimi ni wako oooh…
niko ndaani…

[Mbosso]
Nilianza taratibu mwendo
Nikujue kiundani
Pendo lajaa nyingi skendo
Unakosa kitu gani
Sikutaka fumba macho
Wala masikio nisisikie
Sio kwa mazuri yako
Na mabaya niyashuhudie eeh
Mbosso mi sipendi mastory (mbosso mi sipendi mastory)
Kila siku kunifanya mdori ( kunifanya mdori)
Mambo ya kudanganya na yashaishaga zamanii
Kama matuktuk kupelekeshana ndo mapenzi ganii?
Mbosso mi sipendi mastory (mbosso mi sipendi mastory)
Kila siku kunifanya mdori ( kunifanya mdori)

[Hook]
niko ndani
Niko powa
sina mambo Kata maji
you know I love you
Wewe ni wangu
mimi ni wako
Mimi ni wako oooh…
niko ndaani…

[Gabu]
Tell me something beiby that i don’t know
Tabia zako saa za nikeraa
niko ndani
Niko powa
sina mambo Kata maji
you know i love you
Wewe ni wangu
mimi ni wako
Mimi ni wako oooh…
niko ndaani…

[Mbosso]
Unanidundisha dundisha
kwa roho yangu
Umekosa nini?
Unataka nini?
Nikupe nini utulie?

Kokan Okusimba

About Author

I am a Pan-Afrikanist to the core and love to let the world know what they are missing in Africa. I might do that through music and some interesting posts from time to time so please bare with me. I will always be real though, that's a guarantee.

You may also like

lyrics

K-South’s lyrics to the song changamka is finally out

Verse One (Bamboo) Ehh baby si uko fresh kaa mimi Yes kaa chini Stress? ya nini? Ex? ako wapi, I
music lyrics

Oksyde’s ‘Beautiful’ Lyrics is out now

  [So badala nimplay wacha nicheze guitar] x 2 Check I Saw her face from a far aki move ndani