Please go to your post editor > Post Settings > Post Formats tab below your editor to enter audio URL.

Nyashinski – Hayawani Lyrics

1 min read

Kabla Suala ukamilishe Mama
Tafadhali Mola mwambie
Milele anichunge mi nisije zama
Mashetani yasinivamie
Chuki wivu tunakutesa
Linda kwako usiwaskie
Kwa nini hatuwezi sote kupenda
Oii wenzangu acha niwaambie
Labda si sote wendawazimu
Labda laana yetu pesa
Kesho ukipoteza kila kitu
Dunia nzima itakucheka
Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu
Wabaki hao ndio kusema
Kesho wapigie demu yangu simu
Asahau alivyonipenda!
Ooo Hayawani

Hayayayaya
Hayawani hawa si watu hawa
Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama
Hayawani, hayayayaya

Tunaongezea nini bidii?
Na roho ya mwanadamu haitosheki aki
Sorry if I never made u happy
I can’t be there for everybody
It’s easy to see
Wengi huishi kutafuta kasoro kwako
Why man so money minded
You wanna take from everyone
Man eat man society
Huoni haya kuvunja familia
Hamna utu ni kujifikiria
Woii binadamu wote mmegeuka Hyawani
Hayayayaya Hayawani hawa si watu hawa
Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama!

Hayawani (Hayawani)
Hayawani (Hayawani)
hayayayayaya Hayawani (Hayawani)
Hayawani (Hayawani)
hayayayayaya
Kabla Suala ukamilishe Mama
Tafadhali Mola mwambie
Milele anichunge mi nisije zama
Mashetani yasinivamie
Chuki wivu tunakutesa
Linda kwako usiwaskie \
Kwa nini hatuwezi sote kupenda
Oii wenzangu acha niwaambie
Labda si sote wendawazimu
Labda laana yetu pesa
Kesho ukipoteza kila kitu
Dunia nzima itakucheka
Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu
Wabaki hao ndio kusema
Kesho wapigie demu yangu simu
Asahau alivyonipenda!
Ooo Hayawani Hayawa
Hayawa Hayawa…

I am a Pan-Afrikanist to the core and love to let the world know what they are missing in Africa. I might do that through music and some interesting posts from time to time so please bare with me.

I will always be real though, that's a guarantee.

Exit mobile version