"Mimi ni kama Diamond wa Kenya" Stivo Simple Boy explains 
Stivo Simple Boy and Diamond Platnumz. Photo/Courtesy

“Mimi ni kama Diamond wa Kenya” Stivo Simple Boy explains 

2 mins read

Stivo Simple Boy has compared himself to Diamond saying that many people have noted similarities music-wise between him and the Tanzanian crooner.

In a conversation with YouTuber 2bili, Stivo said that his ability in composing musical advice has been compared to that of Diamond.

“Najua Wakenya na watu wengine walikuwa wanasema eti mimi ni Diamond wa Kenya. Kwa hiyo mimi nilikuwa nasema hizo zikitulia naachilia ngoma, unaona,” Stivo said.

The rapper advised his fellow Kenyan artistes to compose songs of exceptional quality to enable them to participate in international awards.

“Wasanii wa Kenya watie bidii waache kuimba ngoma ambazo hazileti shangwe, waimbe ngoma amabzo zinamake sense. Wasanii sisi tunajituma Zaidi, ukiangalia mimi kwa staili yangu na wasanii wengine tuko tofauti. Mimi sana sana napenda kuhimiza jamii ambayo ni kuwapatia ujumbe, siimbi ngoma za kupotosha watu,” Stivo said.

“Unajua si kila mtu huwa anataka kusikiliza ngoma za hepi moments za kusisimua mwili hapana, mle ndani kuna wazee, kuna wale watu wazima, imbeni ngoma ambayo hata ukiwa pale kwa nyumba unaweza kusikiliza hata na mzazi,” he added.

Stivo, who has disappeared online,  said that his social media and music accounts are still being held by his former management MIB following his exit.

Stivo implored MIB to take the revenue generated from his music but grant him ownership of his songs.

“Mimi ningependa kuomba hizo ngoma ambazo ziko kwa hiyo chaneli wachukue revenue lakini waniachie akaunti. Uongozi ndio ulinifungulia chaneli hiyo wakasema kama kuna makosa ambayo yatatokea watanipatia akaunti hiyo,” he pleaded.

Stivo recently threatened to file a lawsuit against his former bosses for refusing to release his social media accounts. Something he claimed has hindered his musical progress.