Harmonize has tabled a formal request to terminate his contract with Wasafi – Diamond’s manager Sallam SK reveals

2 mins read

Diamond Platnumz’s manager Sallam SK Mendez has revealed more details about Harmonize’s departure from Wasafi record label.

Speaking during an interview on Wasafi FM, Mendez disclosed that Harmonize had officially requested Wasafi management to terminate his contract.

Mendez said Harmonize was ready to follow all clauses listed in contract termination. He noted that the ‘Kwangwaru’ singer has his own personal reasons why he decided to quit Wasafi.

“Harmonize kwa sasa hivi ndani ya moyo wake hayupo WCB. Lakini kimkataba bado yupo WCB. Harmonize ameshatuma barua ya maombi yaku terminate mkataba wake na yuko willing kupitia vipengele vyote vya sheria kuweza kuterminate mkataba wake. Hicho ni kitu ambacho tumependezewa nacho, ambacho yeye mwenye ameridhia na ameandika barua kuomba kikao na uongozi. Ni mtu ambaye amesimama na anafuata sharia na ameona labda imefikia wakati ameamua yeye kujiendeleza na kumove on…labda kuna vitu alikuwa anaona vinamubana na anaona akifanya pekee yake atafika mbele zaidi,” said Mendez.

Diamond’s manager further stressed that the label will give Harmonize their blessings if he follows all procedures listed in contract termination.

Mendez also stated that the label will not in anyway try to break the terms of agreement they had with Harmonize, further saying that Wasafi will look to maintain a cordial working relationship with him.

“Kama taasisi ya WCB tukoradhi kwa yeyote ambaye ataamua kuondoka, hatuwezi kupinga chochote maana akifuata procedure zote atakuwa na blessings hundred per cent kutoka kwa taasisi ya Wasafi and chocote ambacho anataka kushirikiana na wasafi anytime kitakuwa kiko open. Unajua unapoondoka katika Mazingira Mazuri inasaidia kuwa relationship ibakikuwa pale pale,”

Watch the full interview in the video below: