Zigo Remix by AY ft Diamond Platnumz Banned,Kenya?

/
3 mins read

Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) has been banned Tanzanian hip-hop artiste AY’s hit song, Zigo Remix which features Diamond Platnumz.

One of the reasons it was banned, the bikini dressed models in the video acting all sexy.

The song will now be aired only at night. Another possible reason could be the lyrics.

At some point, the artists say that a particular subject can lick d!ck man.

[Verse 1 – A.Y]
Picha linaanza nshadata
Picha linaanza nshawaka
Picha linaanza nshachanganyikiwa
Picha linaanza nshadata
Ukweli mie amenikamata
Kwa jinsi navyomuangalia
Akinipatia nami sitamuacha
Kwa nyuma ananipa mineso
Moyoni ananipa mateso
Wa kishua ila matendo ya ghetto
Mtamu na hapendi vya dezo
Nakula kwa macho, 5 star girl si mchezo
Emu ona, emu ona

[Hook – A.Y]
Ukweli mie amenikamata
Kwa jinsi navyomuangalia
Akinipatia nami sitamuacha

[Verse 2 – Diamond Platnumz]
Aa aah ana rangi flani ya kimanga
Lugha lafudhi ya kitanga
Usiombe akapita na khanga (wu!)
Nyuma figusu majanga (wu!)
Ana mwendo wa kung’onya
Tena alivyoshona
Umbo kama katuni wa kuchora
Aah Singida-Dodoma, kitandani Sodoma
Kiuno kama nyuki, dondora
Maneno ya watu sumu yana hila
Wasije leta referee ka mpira
Chunga katu usije ukanzira
Nkashikwa na uchizi yaani utaila
(Rooh!)
Mtoto yani mukidi mukide
Mpaka ndani shigidi shigide
Hasa aki-lick D, lick De
Ye ndo mama Chibudi Chibude eh

[Hook – A.Y]
Ukweli mie amenikamata
Kwa jinsi navyomuangalia
Akinipatia nami sitamuacha

[Bridge 1 – A.Y] x2
Too se-too sex yeah man
Buzye-buzye ni amani
Mungu ameumba hapa, yeah man
Natamani nikaseme nae, yeah man

[Bridge 2]
[A.Y]
Naamini amezaliwa ili mimi niwe nae eh
Mpaka sasa nimechanganyikiwa
Akaja ye awe nami

[Diamond Platnumz]
Mutoto yani mukidi mukide
Mpaka ndani shigidi shigide
Hasa aki-lick D, lick De
Ye ndo mama Chibudi Chibude eh

[A.Y]
Naamini amezaliwa ili mimi niwe nae
Mpaka sasa nimechanganyikiwa
Akaja ye awe nami

Iwe iwe iwe
Iwe iwe hii ndoto
Ni tamu mpaka utamu umepitiliza
Akikaa na wengine wanachukiza
Shika leka dige yeah man
Ngoja niongeze bidii yeah man
Ukute hili zali langu yeah man
Nikapige masinema nae yeah man
Sheaaa!

[Bridge 3 – A.Y]
Yessaya!
Nakula kwa macho
Kwa macho
Nakula kwa macho
Kwa macho
Nakula kwa macho
Kwa macho

[Hook – A.Y]
Ukweli mie amenikamata
Kwa jinsi navyomuangalia
Akinipatia nami sitamuacha

Will Kenya ban it?